Berea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Berea (leo Veria au Veroia) ni mji wa kale wa huko Masedonia (Ugiriki Kaskazini).

Katika Agano Jipya tunasoma Mtume Paulo pamoja na Sila na Timotheo walivyofanya uinjilishaji huko baada ya kutokea Thesalonike mwaka 50 BK (Mdo 17).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Smith's Dictionary of the Bible. H. B. Hackett, D.D. 1981. uk. 280.
  • The Interpreter's Dictionary of the Bible. Abingdon Press. 1962. ku. 385–6.
  • Encyclopædia Britannica. Encyclopædia Britannica. 1929. uk. 430.
  • Cyclopedia of Biblical, Theological, and Ecclesiastical Literature. Baker Book House Company. 1981. uk. 785.
  • The Victor Journey Through the Bible. V. Gilbert Beers. 1981. uk. 371.
  • Zaring, Elbert Robb, mhr. (Juni 21, 1916). "A Badge of True Nobility". Northwestern Christian Advocate. 64 (26): 606.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu maeneo ya Ugiriki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Berea kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.