Wahasidimu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Adhimisho la Tish huko Yerusalemu, sikukuu ya Sukkot, 2009.

Wahasidimu ni kundi la Wayahudi (kwa Kiebrania חסידות, hasidut, kutoka neno lenye maana ya "ibada").

Asili yake ni mwamko wa kiroho katika karne ya 18 ambao kutoka Ukraine magharibi ulienea haraka Ulaya Mashariki kote.

Israel Ben Eliezer, "Baal Shem Tov", anahesabiwa kuwa mwanzilishi wake.

Leo wafuasi wake ni 400,000 hivi, na wengi wao wako Marekani, Israel na Ufalme wa Muungano.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Elior, Rachel (2006). The Mystical Origins of Hasidism. Littman Library of Jewish Civilization. ISBN 978-1-904113-04-1.
  • Buber, Martin (Julai 23, 1991) [1947]. Tales of the Hasidim. translated by Olga Marx; foreword by Chaim Potok (toleo la Paperback: 2 volumes in 1). New York: Schocken Books. ISBN 0-8052-0995-6. LCCN 90052921.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Berger, Joseph (2014). The Pious Ones: The World of Hasidim and Their Battle with America. Harper Perennial. ISBN 978-0-06-212334-3.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.