Ulezi
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d1/2015.11-435-047ap1_sorghum%2Charvesting%2Ccutting_INERA_Res.Stat.Farako-Ba%28Bobo-Dioulasso_Dpt%29%2CBF_fri06nov2015-0938h.jpg/220px-2015.11-435-047ap1_sorghum%2Charvesting%2Ccutting_INERA_Res.Stat.Farako-Ba%28Bobo-Dioulasso_Dpt%29%2CBF_fri06nov2015-0938h.jpg)
Ulezi ni mbegu ya mlezi au mwele, aina ya nafaka ambayo hulimwa katika sehemu zenye hali ya ukame, hasa katika Ulimwengu wa Tatu.
Matumizi ya ulezi[hariri | hariri chanzo]
Unga wake hutumika kutengenezea ugali, uji na kadhalika, hasa kwa wagonjwa.
Pia unatumika kama chachu kutengeneza aina mbalimbali za pombe.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |