Uislamu nchini Rwanda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi

Uislamu nchini Rwanda ni dini yenye wafuasi wachache mno nchini humo, inaabudiwa na watu asilimia 2 ya idadi ya wakazi wote wa nchini humo - kwa sensa ya mwaka wa 2012. Wako zaidi upande wa mashariki wa nchi na katika miji mikubwa. Sehemu kubwa ya Waislamu wa Rwanda ni wale wa dhehebu la Sunni.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]