Telangana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha mbalimbali.

Telangana ni jimbo la 29 la jamhuri ya India, likiwa limeundwa rasmi tarehe 2 Juni 2014 kwa kutengana na Andhra Pradesh.

Kwa sasa ni la 12 kwa eneo na kwa idadi ya watu: kilometa mraba 114,840 na wakazi 35,193,978 (sensa ya mwaka 2011).

Makao makuu ni Hyderabad.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kigezo:Country study (Direct link.)
  • Virendra Kumar (1975). "Committee on Telangana surpluses, 1969 – Report by Justice Bhargava". Committees and commissions in India, 1947–1973. Juz. 9. New Delhi: D. K. Publishing House. uk. 175. ISBN 8170221978. Iliwekwa mnamo December 2013. {{cite book}}: Check date values in: |accessdate= (help)
  • Sarojini Regani (1986). Nizam – British Relations 1724–1857. New Delhi: Concept Publishing Company. ISBN 8170221951. Iliwekwa mnamo December 2013. {{cite book}}: Check date values in: |accessdate= (help)
  • Duncan B. Forrester (Spring 1970). "Subregionalism in India: The Case of Telangana". Pacific Affairs. 43 (1). University of British Columbia: 5–21. doi:10.2307/2753831. JSTOR 2753831.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Karen Leonard (Mei 1971). "The Hyderabad Political System and its Participants". The Journal of Asian Studies. 30 (3). Association for Asian Studies: 569–582. doi:10.1017/s0021911800154841. JSTOR 2052461.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • "ReInventing Telangana – First Steps- Socio Economic Outlook 2105". Planning Department, Govt of Telangana. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-06-04. Iliwekwa mnamo 24 Septemba 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: