Petro wa Chavanon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Petro akizuia mwamba usiangamize kanisa.

Petro wa Chavanon, C.R.S.A. (Lanjac, Ufaransa, 1008 hivi - Pebrac, Ufaransa, 8 Septemba 1080) alikuwa paroko ambaye, akitamani ukamilifu mkubwa zaidi, alianzisha shirika la kikanoni la Kiaugustino [1] ambalo aliliongoza hadi kifo chake.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Paris, Paulin. Histoire littéraire de la France: ou l'on traite de l'origine et du progrès, de la décadence (en francès). Boccard, 1841, p. vol.11, p.112.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.