Peter Eastman (msanii)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Peter Eastman (alizaliwa 1976) [1] ni msanii wa nchini Afrika Kusini anayeishi katika mji wa Cape Town. [2] [3]

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Eastman alizaliwa mwaka 1976 na kukulia Afrika Kusini. Alianza kazi yake kama mrejeshaji wa mambo ya kale huko London, Uingereza. Pia alisoma katika Shule ya sanaa ya katika Chuo Kikuu cha Cape Town cha Michaelis. [4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Peter Eastman - About". Peter Eastman. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-09-29. Iliwekwa mnamo 16 Juni 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Edmunds, Paul (Agosti 2008). "Peter Eastman". artthrob (132). Iliwekwa mnamo 16 Juni 2021.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Peter Eastman, Black Portrait". Art Center Hugo Voeten. Hugo Voeten museum. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-06-05. Iliwekwa mnamo 3 Juni 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. "Peter Eastman, featured". between 10 and 5. between 10 and 5, Jessica Hunkin. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-06-03. Iliwekwa mnamo 3 Juni 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Peter Eastman (msanii) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.