Nerine Desmond

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nerine Desmond (1908-1993) alikuwa msanii wa nchini Afrika Kusini alijulikana hasa kwa rangi yake ya maji na uchoraji picha za wapanda farasi wa Basuto, na picha zinazoonyesha wachungaji wa ng'ombe na wachungaji wa mbuzi wakiwa na wanyama wao. [1]

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Desmond alizaliwa huko Constantia, Cape Town mnamo 1908, ni binti wa Nicolaas Johannes Smith, kasisi wa Kiafrikana, na Ivy Desmond. [2] [3] .

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nerine Desmond". Absolut Art Gallery website. Iliwekwa mnamo 27 Machi 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Nerine Constantia (Smith) Desmond-Smith (1908)". Wikitree website. Iliwekwa mnamo 27 Machi 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Nerine Desmond" (PDF). Thoughtful Journey – a celebration of female artists. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 30 Mei 2017. Iliwekwa mnamo 27 Machi 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nerine Desmond kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.