Miniato wa Firenze
Miniato wa Firenze (alifia dini Firenze, Italia, 250 hivi) alikuwa Mkristo, labda kutoka Armenia[1], ambaye aliuawa kwa ajili ya imani yake katika dhuluma ya kaisari Decius[2].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini[3].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Oktoba[4].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "St. Patrick Catholic Church: Saint of the Day". Saint Patrick Catholic Church. n.d. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Januari 5, 2009. Iliwekwa mnamo Mei 20, 2009.
{{cite web}}
: More than one of|archivedate=
na|archive-date=
specified (help); More than one of|archiveurl=
na|archive-url=
specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Brucker, Gene (1998). Florence: The Golden Age, 1138–1737. University of California Press. ku. 194. ISBN 0-520-21522-2.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/75050
- ↑ Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |