Mena wa Konstantinopoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake.

Mena wa Konstantinopoli (mzaliwa wa Aleksandria (Misri), alifariki Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 25 Agosti 552) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 536 hadi kifo chake.

Alipewa daraja hiyo na Papa Agapeto I na hivyo farakano lililotokea wakati wa Papa Vigilio lilikwisha kwa muda fulani [1].

Alitabaruku basilika la Hagia Sofia lililojengwa na kaisari Justiniani I kwa heshima ya Hekima ya Mungu [2].

Anaheshimiwa tangu kale na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Agosti[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Henwy Wace e William C. Piercy, A Dictionary of Christian Biography and Literature to the End of the Sixth Century A.D., with an Account of the Principal Sects and Heresies, 1911

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.