Margaret Simwanza Sitta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Margaret Simwanza Sitta (amezaliwa tarehe 24 Julai 1947) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Urambo kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017