Herode Antipa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Herode Antipa
Yesu mbele ya Herode Antipa kadiri ya Albrecht Dürer, 1509.
Yesu mbele ya Herode Antipa kadiri ya Albrecht Dürer, 1509.
Kazi yake alikuwa mtawala wa Galilaya

Herode Antipa (kwa Kigiriki Ἡρῴδης Ἀντίπατρος, Hērǭdēs Antipatros) alikuwa mtawala wa Galilaya na Perea katika karne ya 1. Alizaliwa na mfalme Herode Mkuu kabla ya mwaka 20 KK – akafariki uhamishoni[1] baada ya mwaka 39 BK).

Anajulikana hasa kutokana na habari zake zinazosimuliwa katika Agano Jipya ambamo Injili, hasa ile ya Luka zinaeleza alivyoagiza Yohane Mbatizaji akatwe kichwa na alivyomrudisha Yesu kwa Ponsyo Pilato siku ya Ijumaa Kuu ya mwaka 30 hivi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Josephus, War 2.183.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Ya zamani
Ya kisasa
  • Bond, Helen K. (1998). Pontius Pilate in History and Interpretation. Society for New Testament Studies monograph series. Cambridge: Cambridge University Press. uk. 149. ISBN 0-521-63114-9.
  • Bruce, F. F. (1963/1965). "Herod Antipas, Tetrarch of Galilee and Peraea" (PDF). Annual of Leeds University Oriental Society. 5: 6–23. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2017-11-20. Iliwekwa mnamo 2007-10-19. {{cite journal}}: Check date values in: |year= (help); Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help)
  • Goodacre, Mark (Mei 1, 2004). "Herod Antipas in The Passion of the Christ". NT Blog. Iliwekwa mnamo 2009-06-08.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Hoehner, Harold W. (1970). "Why Did Pilate Hand Jesus Over to Antipas?". Katika Ernst Bammel (ed.) (mhr.). The Trial of Jesus: Cambridge Studies in Honour of C. F. D. Moule. Studies in Biblical Theology. London: SCM Press. ku. 84–90. ISBN 0-334-01678-9. {{cite book}}: |access-date= requires |url= (help); |archive-url= requires |url= (help); |editor= has generic name (help); |format= requires |url= (help); External link in |chapterurl= (help); Unknown parameter |chapterurl= ignored (|chapter-url= suggested) (help); Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help)
  • Jensen, Morten Hørning (2006). Herod Antipas in Galilee: The Literary and Archaeological Sources on the Reign of Herod Antipas and its Socio-economic Impact on Galilee. Wissenschaftliche Untersuchungen zum Neuen Testament. Tübingen: Mohr Siebeck. uk. 121. ISBN 3-16-148967-5.; 2nd rev. ed. (Tübingen, Mohr Siebeck, 2010) Wissenschaftliche Untersuchungen zum Neuen Testament 2.Reihe (WUNT II), 215.
  • Lane Fox, Robin (1991). The Unauthorized Version: Truth and Fiction in the Bible. London: Viking. uk. 297. ISBN 0-670-82412-7.
  • Milwitzky, William (1901–1906). "Antipas (Herod Antipas)". In Isidore Singer et al.. Jewish Encyclopedia. New York: Funk & Wagnalls. pp. 638–639. http://www.jewishencyclopedia.com/view.jsp?artid=1597&letter=A. Retrieved 2007-10-19.
  • Schürer, Emil (1973). The History of the Jewish People in the Age of Jesus Christ: Volume I. revised and edited by Geza Vermes, Fergus Millar and Matthew Black (toleo la revised English). Edinburgh: T&T Clark. ISBN 0-567-02242-0. Pages 340–353 treat Antipas' reign.
  • Sherwin-White, A. N. (1963). Roman Society and Roman Law in the New Testament. Oxford University Press. ISBN 0-8010-8148-3.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Herode Antipa kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.