Gabriel Batistuta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gabriel Omar Batistuta (alizaliwa 1 Februari 1969) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu wa Argentina maarufu kama Batigol[1].

Ni kati ya wachezaji bora wa nyakati zote, hasa kutokana na shuti zake kutoka mbali.[2][3]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Giancarlo Rinaldi (29 Agosti 2014). "When Batigol could not stop scoring". Football Italia. Iliwekwa mnamo 18 Juni 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Rivaldo on top of the world" Archived 10 Juni 2020 at the Wayback Machine. FIFA.com. Retrieved 17 November 2013
  3. "Pele's list of the greatest". BBC Sport. 4 Machi 2004. Iliwekwa mnamo 15 Juni 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gabriel Batistuta kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.