Chosen Becky

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chosen Becky
Amezaliwa Februari 20 2000
Masaka, Uganda
Nchi Uganda
Kazi yake Mwanamuziki na mtunzi

Rebecca Kukiriza anajulikana kama Chosen Becky ni mwanamuziki[1] na mtunzi wa nyimbo nchini Uganda.[2][3][4][5]

Kazi ya muziki[hariri | hariri chanzo]

Chosen Becky aligunduliwa na Joseph Kiwangwa baada ya kumvutia kwenye shindano la kuimba huko Masaka, Uganda.[6][7]Becky alianza kazi yake ya muziki mwaka 2017 na kuibuka na Bankuuza kama wimbo wake wa kwanza[4]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Hanson Baliruno collaborates with Chosen Becky".
  2. Lyatuu, Justus. "Chosen Becky now aims to overcome Bankuza shadow". The Observer – Uganda.
  3. "Chosen Becky: I got pregnant at school after my boyfriend promised me chips". 9 Machi 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. 4.0 4.1 Rafiki, Sunrise. "Chosen Becky denied rights to perform her songs – Sunrise".
  5. Jjingo, Ernest; Atiluk, Nathan (5 Januari 2021). "Uganda: A Year in Entertainment". allAfrica.com.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  6. Ssejjombwe, Isaac. "I promised my mum that I will remain humble – Chosen Becky".
  7. Mabz, Chris (16 Machi 2021). "Baby Chosen Becky Screams Out loud, Rolls On The Floor As She Thanks Zari For Posting Her Song On Instagram Stories".{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chosen Becky kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.