Chad

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Chadi)
Jamhuri ya Chad
جمهورية تشاد (Kiarabu)
République du Tchad (Kifaransa)
Kaulimbiu ya taifa:
Unité, Travail, Progrès (Kifaransa)
الاتحاد، العمل، التقدم (Kiarabu)
"Umoja, Kazi, Maendeleo"
Wimbo wa taifa:
La Tchadienne (Kifaransa)
نشيد تشاد الوطني (Kiarabu)
"Wimbo wa Chad"
Mahali pa Chad
Mahali pa Chad
Ramani ya Chad
Ramani ya Chad
Mji mkuu
na mkubwa nchini
N'Djamena
12°06′ N 16°02′ E
Lugha rasmiKiarabu
Kifaransa
Makabila (asilimia)[1]26.6 Wasara
12.9 Waarabu
8.5 Wakanembu
7.2 Wamasalit
6.9 Watebu
4.8 Wamasana
3.7 Wabidiyo
3.7 Wabilala
3.0 Wamaba
2.6 Wadaju
2.5 Wamundang
2.4 Wagabri
2.4 Wazaghawa
2.1 Wafulani
2.0 Watupuri
1.6 Watama
1.4 Wakaro
1.3 Wabagirmi
1.0 Wamasmaje
2.6 Wachad wengine
0.7 Wageni
Dini (asilimia)[2]55.1 Waislamu
41.1 Wakristo
2.4 Wakanamungu
1.3 dini asilia
0.1 wengine
SerikaliJamhuri yenye
baraza la majeshi
 • Rais wa muda
 • Makamu wa Rais
 • Waziri Mkuu
Mahamat Déby
Djimadoum Tiraina
Succès Masra
Eneo
 • Eneo la jumlakm2 1 284 000[3]
 • Maji (asilimia)1.9[3]
Idadi ya watu
 • Kadirio la 202318 523 165[3]
Pato la taifaKadirio la 2023
 • JumlaOngezeko USD bilioni 12.596[4]
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 702[4]
Pato halisi la taifaKadirio la 2023
 • JumlaOngezeko USD bilioni 32.375[4]
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 1 806[4]
Maendeleo (2022)Ongezeko 0.394[5] - duni


Chad, kirasmi Jamhuri ya Chad (pia: Chadi), ni nchi huru iliyoko Afrika ya Kati. Imepakana na Libya, Sudan, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Kamerun, Nigeria na Niger.

Mji mkuu ni Ndjamena.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Sehemu kubwa ya eneo lake ni jangwa na nchi yabisi. Kusini kuna kanda lenye hali ya hewa ya kitropiki, lakini ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilimo ni asilimia 3 tu za eneo lake lote .

Kaskazini kuna milima ya Tibesti.

Katikati liko beseni la ziwa Chad lililokuwa kati ya maziwa makubwa kabisa duniani lakini limepungua sana, hasa mwishoni mwa karne ya 20.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Makala kuu: Historia ya Chad

Katika milenia ya 7 KK kulikuwa na watu wengi sana katika beseni hiyo.

Katika historia kabla ya ukoloni watu wa kaskazini waliwafanyia vita watu wa kusini na kuteka wafungwa kama watumwa. Hivyo hadi leo uhusiano kati ya kusini na kaskazini ya nchi ni mgumu.

Tangu mwaka 2003 petroli imekuwa inaongoza kati ya bidhaa zinazopelekwa nje ya nchi badala ya pamba.

Tangu mwaka huo Mgogoro wa Darfur nchini Sudan umevuka mpaka na kuvuruga Chad pia. Ikiwa kati ya nchi zinazoongoza duniani kwa ufukara na ufisadi, ilipata shida kupokea wakimbizi kwa mamia elfu.

Ingawa kulikuwa na vyama vingi vya siasa na mapigano ya kisiasa pamoja na majaribio ya mapinduzi, mamlaka ilibaki imara mikononi mwa Rais Déby na chama chake, Patriotic Salvation Movement, hadi alipouawa mwaka 2021.

Watu[hariri | hariri chanzo]

Msichana wa mkoa wa Ouaddaï.

Wakazi walikuwa 15,500,000 mwaka 2018.

Jinsi ilivyo katika nchi mbalimbali za kanda la Sahel kuna aina mbili za wakazi ndani yake:

Kwa jumla leo kuna makabila zaidi ya 200 nchini, ambayo hutimia lugha na lahaja zaidi ya 100 (angalia orodha ya lugha hizo). Asili yao ni Afrika Mashariki, Afrika ya Kati, Afrika Magharibi na Afrika Kaskazini vilevile[9].

Lugha rasmi ni Kiarabu na Kifaransa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Analyse Thematique des Resultats Definitifs Etat et Structures de la Population". Institut National de la Statistique, des Études Économiques et Démographiques du Tchad. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 28 Desemba 2019. Iliwekwa mnamo 3 Mei 2020. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Religions in Chad | PEW-GRF". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 8 Oktoba 2022. Iliwekwa mnamo 11 Agosti 2022.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. 3.0 3.1 3.2 "Chad". The World Factbook (kwa Kiingereza) (toleo la 2024). Shirika la Ujasusi la Marekani. Iliwekwa mnamo 26 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. 4.0 4.1 4.2 4.3 "World Economic Outlook Database, October 2023 Edition. (Chad)". IMF.org. International Monetary Fund. 10 Oktoba 2023. Iliwekwa mnamo 18 Oktoba 2023.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  5. "Human Development Report 2023/24" (PDF) (kwa Kiingereza). United Nations Development Programme. 13 Machi 2024. Iliwekwa mnamo 13 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  6. "Table: Muslim Population by Country". Pew Research Center. Iliwekwa mnamo 16 Aprili 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  7. "The World's Muslims: Unity and Diversity" (PDF). Pew Forum on Religious & Public life. 9 Agosti 2012. ku. 128–129. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 24 Oktoba 2012. Iliwekwa mnamo 2 Juni 2014. {{cite web}}: More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)
  8. "Table: Christian Population as Percentages of Total Population by Country". Pew Research Center. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-05-11. Iliwekwa mnamo 16 Aprili 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  9. Haber, Marc; Mezzavilla, Massimo; Bergström, Anders; Prado-Martinez, Javier; Hallast, Pille; Saif-Ali, Riyadh; Al-Habori, Molham; Dedoussis, George; Zeggini, Eleftheria; Blue-Smith, Jason; Wells, R. Spencer; Xue, Yali; Zalloua, Pierre A.; Tyler-Smith, Chris (1 Desemba 2016). "Chad Genetic Diversity Reveals an African History Marked by Multiple Holocene Eurasian Migrations". The American Journal of Human Genetics (kwa Kiingereza). 99 (6): 1316–1324. doi:10.1016/j.ajhg.2016.10.012. ISSN 0002-9297. PMC 5142112. PMID 27889059.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Vya serikali
Vingine


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Chad kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. ""Chad Country Commercial Guide – FY 2005"". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-10-15. Iliwekwa mnamo 2021-01-16.. United States Department of Commerce.