Asa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfalme Asa alivyochorwa na Guillaume Rouillé mwaka 1553.
Asa akibomoa sanamu.

Mfalme Asa (kwa Kiebrania: אָסָא, ʾAsaʾ au ʾĀsāʾ; 930 KK hivi - 870 KK hivi) alitawala ufalme wa Yuda kati ya miaka 911 KK na 870 KK.

Muda huo alijitahidi kurudisha Israeli kwa Mungu pekee, YHWH, kama alivyoelekezwa na Nabii Azaria.

Kwa ajili hiyo, nchi ilifurahia amani miaka 35.

Mwishowe alimdhulumu nabii Hanani na kuwategemea matabibu kuliko Mungu katika ugonjwa wa miguu yake.

Habari zake zinapatikana hasa katika Kitabu cha Pili cha Wafalme 15 na Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati 14-16.

Pia anatajwa na Injili ya Mathayo kati ya mababu wa Yesu Kristo.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Arbeli, Shoshana (1985). "Maacah, the Queen-Mother (Gebirah) in the Reign time of Abiah and Asa, and her removal". Shnaton — an Annual for Biblical and Near Eastern Studies (kwa Kiebrania). 9: 165–178.
  • Falk, A. (1996). A Psychoanalytic History of the Jews. Fairleigh Dickinson University Press. ISBN 978-0-8386-3660-2.
  • Gomes, J.F. (2006). The Sanctuary of Bethel and the Configuration of Israelite Identity. Beihefte zur Zeitschrift für die alttestamentliche Wissenschaft. De Gruyter. ISBN 978-3-11-092518-0.
  • Japhet, S. (1993). I and II Chronicles: A Commentary. The Old Testament Library. Presbyterian Publishing Corporation. ISBN 978-1-61164-589-7.
  • Jeon, Y.H. (2013). Impeccable Solomon?: A Study of Solomon's Faults in Chronicles. Pickwick Publications. ISBN 978-1-4982-7661-0.
  • Josephus (1737) [94]. The Antiquities of the Jews . Ilitafsiriwa na Whiston, William.
  • Kaiser, W.C. (1998). History of Israel: From the bronze age through the Jewish wars. Nashville, TN: Broadman & Holman. ISBN 978-0-8054-3122-3.
  • Myers, J.M. (1965). II Chronicles. The Anchor Bible. Doubleday. ISBN 978-0-385-05778-3.
  • Smith, D.L. (2003). With Willful Intent: A Theology of Sin. Wipf & Stock Publishers. ISBN 978-1-59244-416-8.
  • Sweeney, M.A. (2007). I & II Kings: A Commentary. Old Testament library. Westminster John Knox Press. ISBN 978-0-664-22084-6.
  • Tenney, M.C.; Silva, M. (2010). "The Zondervan Encyclopedia of the Bible". The Zondervan Encyclopedia of the Bible. 4 (Revised Full-Color ed.). Zondervan. ISBN 978-0-310-87699-1
      . https://books.google.com/books?id=S4MZREX03u0C&pg=PT30.
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Asa kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.