Armaeli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Armaeli (kwa Kiwelisi Arthfael; pia: Arthmael, Arzhel, Armel, Armagilus; mwishoni mwa karne ya 5 - 570 hivi) alikuwa mmonaki wa Welisi aliyehamia Ulaya bara kama mmisionari akaanzisha monasteri huko Plouarzel (rasi ya Bretagne katika Ufaransa ya leo)[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90521
  2. Martyrologium Romanum, 2004, Vatican Press (Typis Vaticanis), page 171.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Henri Poisson, Vie de saint Armel, Rennes, Imprimerie G. Laigneau, 1958.
  • Les noms qui ont fait l'histoire de Bretagne, 1997.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.