Aniano wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wat. Marko na Aniano kadiri ya Pietro Lombardo, 1478.

Aniano wa Aleksandria (alifariki Aleksandria, 86[1]) alikuwa askofu wa mji huo wa Misri kwa miaka 22 baada ya mwinjili Marko, akiwa wa kwanza kuongolewa naye katika nchi hiyo.[2]

Habari zake ziliandikwa na mwanahistoria Eusebi wa Kaisarea[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Aprili[4][5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.copticchurch.net/synaxarium/3_20.html#1
  2. Atiya, Aziz S.. The Coptic Encyclopedia. New York: Macmillan Publishing Company, 1991. ISBN|0-02-897025-X.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/93004
  4. Martyrologium Romanum
  5. Holweck, F. G., A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO:B. Herder Book Co., 1924.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • St. Anianus, 2nd Pope of Alexandria
  • Meinardus, Otto F.A. (2002). Two Thousand Years of Coptic Christianity. American University in Cairo Press. ISBN 978-977-424-757-6.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.