Amalek

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa Gustave Doré, Kifo cha Agag. Inawezekana "Agag" lilikuwa jina la kurithiwa la wafalme wote wa Amalek. Aliyechorwa aliuawa na Samweli (1 Sam 15).

Amalek (kwa Kiebrania עֲמָלֵק, ʻĂmālēq [1]) ni jina linalopatikana katika Biblia ya Kiebrania, kwa hiyo pia katika Agano la Kale la Biblia ya Kikristo, kuhusu mjukuu mmojawapo wa Esau, kabila la wahamaji lililotokana naye (Waamaleki), na maeneo yaliyokaliwa nao[2] (Negev, Moabu na jangwa la Sinai) ambayo katika karne ya 14 KK yalikuwa na wakazi wachache sana.

Waisraeli walipohama Misri, Waamaleki walikuwa wa kwanza kupigana nao[3] wakawa maadui wao wa kudumu mpaka walipoangamizwa na mfalme Sauli.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Amalek may mean people of lek (עֲם , לֵק), or "dweller in the valley", or possibly "war-like", "people of prey", "cave-men". Z'ev ben Shimon Halevi, Kabbalah and Exodus,Weiser Books 1988 p.101.
  2. J. Macpherson, 'Amalek' in James Hastings, (ed.) A Dictionary of the Bible: Volume I (Part I: A -- Cyrus), Volume 1, University Press of the Pacific, Honolulu, (1898) 2004, pp.77-79,p.77.
  3. Rashi [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Cox, Samuel (1884). Balaam: An Exposition and a Study. London: K. Paul, Trench, & Company. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Easton, Matthew George (1894). Illustrated Bible Dictionary (toleo la 2nd). London: T. Nelson. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Freedman, David Noel (2000). Eerdmans Dictionary of the Bible (toleo la David Noel Freedman, Allen C. Myers, Astrid B. Beck). Wm. B. Eerdmans Publishing. ISBN 9780802824004. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Knight, Charles (1833). Penny Cyclopaedia, Volumes 1-2. Great Britain. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Mills, Watson E.; associate editor, Roger Bullard (1997). Mercer Dictionary of the Bible (toleo la 3rd and corr. print.). Macon, Ga.: Mercer University Press. ISBN 9780865543737. {{cite book}}: |first1= has generic name (help); Invalid |ref=harv (help)CS1 maint: multiple names: authors list (link)
  • Sagi, Avi (1994). The Punishment of Amalek in Jewish Tradition: Coping with the Moral Problem, Harvard Theological Review Vol.87, No.3, p. 323-46.
  • Watson, Richard (1832). A Biblical and theological dictionary. London: Publisher, John Mason. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Amalek kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.